Tuesday, 1 October 2013

Data Collectors Jobs at Neema Recruitment Agency in Dar Es Salaam Tanzania

Job Title: Data Collectors

Job Description:

NAFASI   ZA  KAZI  ZA  KUJITOLEA.
Wanahitajika  vijana   hamsini ( 50 )  wa  kitanzania   kwa  ajili  ya  kufanya  kazi  ya  kukusanya  taarifa  za  watu   wenye matatizo  ya   vitambi, unene  na  uzito kwenye   mradi   wa  masuala  ya  Tiba Lishe  unao  ratibiwa  na  kituo  cha  utafiti  wa   masuala  ya  tiba  lishe.
SIFA  ZA  WAOMBAJI
1.Elimu  kidato  cha  nne, sita  na  kuendelea.
2.Mkaazi  wa  Dar  -  Es  salaam.
3.Maridadi  na  mwenye  uwezo  wa  kujielezea.
MAJUKUMU :  Kukusanya  taarifa  za  watu  MIA  MOJA  (  100 ) wenye  matatizo  ya  vitambi, unene  na  uzito  kupita  kiasi  waliopo  katika  kata  unayoishi  au sehemu  yoyote  ile  unayo  ifahamu.

MALIPO :  Shilingi  ELFU  TANO kwa  kila   mtu  ambaye  utakusanya  taarifa  zake.
Tuma  maombi  yako kwenda : neemarecruitmentagency@gmail.com

Mwisho  wa  kupokea  maombi  ni  tarehe  05  OKTOBA  2013.
Kazi  kuanza  tarehe  07 OKTOBA  2013.

How to Apply:
Tuma  maombi yako  kwenda :  neemarecruitmentagency@gmail.com

Application Deadline: 05th Oct 2013

No comments:

Post a Comment